JAMANI HII MVUA


Mvua hii iliyonyeesha Dar kwa hizi siku tatu basi hali hiko hivi kwa maeneo ya mwananyamala,msasani,mikocheni maeneo ya shoppers plaza,Buguruni daaa....ni siwasahau watu wa manzese na kwa Mtogole

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA