MAZOEZI NI MUHIMU SANA KWA AFYA ZETU
wazee wakicheza mpiraHuu ni mfano wa kuigwa kutoka kwa wazee ambao walikutwa wakisakata soka katika pande zao,Je sisi vijana tunapoamka asubuhi tunafanya mazoezi kama vile kuruka kamba,kupiga push up??????????
wazee wakicheza mpira
Comments
Post a Comment