Alivyoeleza mzee Mkinga namna wizi wa mapato unavyofanyika katika sekta ya bandari


Aliyewahi kuwa Naibu Mkugurugenzi wa Uhamiaji, Mshindi wa shilingi milioni 100 za shindano la Vodacom, Mjumbe na mbunge wa Bunge la Katiba 2015 ambaye pia ni mwanaharakati na mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali linalopigania haki za kibinadamu na utawala bora ndugu Renatus Gervas Mkinga alizungumza mwaka jana na Albert Kilala katika kipindi cha "Mada Moto" cha ChannelTEN kuhusu ubadhirifu wa mapato unaofanyika katika sekta ya bandari.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA