OBAMA:TRUMP HAELEWI SERA ZA KIGENI

Mgombea wa kiti cha urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican Donald Trump, hana ufahamu wowote wa sera za kigeni wala maswala ya ulimwengu!
Haya ni kulingana na rais wa Marekani Barrack Obama.
Obama ameyasema haya kufuatia matamshi ya Donald Trump kuwa wanajeshi wa Marekani wanafaa kuondoka Japan na Korea Kusini, na mataifa hayo yanafaa kutengeneza zana zao za kinyuklia.
Mataifa hayo mawili pia hayakufurahishwa na matamshi ya bwana Trump.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA