Tanzia:Mwenyekiti Wa Chadema Mkoa wa Iringa Afariki Dunia



Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Iringa Sinkala Mwenda, amepata ajali jana jioni, eneo la Tanangozi na kukimbizwa Hospitali lakini juhudi za madaktari kuokoa maisha yake zilifikia ukingoni akawa amefariki dunia.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA