BET AWARDS 2010 KUFANYIKA LEO


WalE wapenzi wa burudani wanaopendelea kufatilia maswala ya burudani kwa ujumla,ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ndo imefika leo NI Utowaji wa tuzo utaKAfanyika leo kwa majira ya Africa mashariki itakuwa saa 3 usiku so kaa karibu na Tv yako uweze kuona mpango mzima kwa wale wenye ving'amuzi vya DSTV.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA