Clouds FM Live ndani ya musoma jioni hii



Watangazaji wa Clouds FM 88.4 wakiruka hewani Live jioni hii kati kati ya mji wa Musoma kuhamasisha wakazi wa mji huo kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha la Fiesta jipanguse 2010,ambalo linafanyika ndani ya Musoma hotel kwa kiingilia cha 5000/= tu kwa kila kichwa usiku wa leo,ambapo mdhamini mkuu wa tamasha hilo ni kampuni ya bia ya Serengeti a.k.a Mfalme wa raha kamili anayedumu zaidi.Kutoka kulia ni Ruben Ndege a.k.a Ncha Kali,Msanii wa kizazi kipya Godzila a.k.a mkali wa Salasala,Fatma Hassan a.k.a Fetty pamoja Mully B.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA