NAIPENDA SANA........



Baada ya kombe la dunia macho na masikio yetu tunayarudisha katika ligi inayopendwa sana dunianI,na hii si nyingine bali ni ligi kuu ya Uingereza na mimi kama kawaida yangu huwa sifichi mapenzi yangu kwa timu yangu ninayoipenda sana ya Manchester United. soon ligi itaanza itakuwa ni mwezi wa 8...so info zaidi utazidi kuzipata kutoka katika blog yako.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA