Miss Open University of Tanzania Leo



Warembo washiriki wa Shindano la Miss Open University of Tanzania Excellence 2010,wakiwa wamejipanga kwa ajili ya picha.Shindano hilo linatarajia kufanyika leo katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania) kilichopo Kinondoni Biafra.Warembo wanaoshiriki katika shindano hilo ni Kiran Mohamed,Bahati Abdallah,Christine Justine,Veronica Allan,Salma Ally,Rehema Faraji,Zahara Muhidin,Nancy Muray,Mariana Kavishe,Jacqueline Mwombeki na Glory Mosha.FM Academia wazee wa Pamba ndio watakaopendezesha shindano hilo kwa upande wa burudani.Shindano hilo linakuja kwa udhamini wa Vodacom Tanzania,Times Fm,Clouds Fm na Mount Moriah Hotel iliyopo Kinondoni

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA