Vije umaarufu wa Chef Issa utotoni tofauti na ndoto yake tofauti na anachofanya? - Mahojiano

  • Anasema Robert Mugabe alikuwa anaacha 'tip' ya $100 kwa kila mtu...

Chef Issa Kapande ni mpishi maarufu na mmiliki wa mgahawa mkubwa unaotoa huduma za chakula cha Kitanzania nchini Sweden, unaojulikana kama Tanzania Restaurant.

Alikuwa mkarimu sana kujiunga na Mubelwa Bandio kuzungumzia safari yake katika fani ya upishi na mpaka alipofikia. Karibu ujiunge nasi kusikiliza...

AddThis Sharing Button

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA