Mtoto sasa amzuzua Diamond kutwa nzima chumbani akipiga picha

Kitendo cha kujaaliwa kupata mtoto wa kike, kimeonekana kumzuzua mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambapo sasa anadaiwa kushinda kutwa nzima chumbani akipiga picha za kuposti mitandaoni.


Chanzo makini ambacho ni ndugu wa Diamond kimeeleza kuwa, tangu jamaa huyo aitwe Baba Tiffah, amekuwa akitumia muda mwingi na mwanaye huyo kiasi kwamba amepunguza hata kasi ya kufanya muziki na kutokula.
 “Jamaa ni kama kadata vile, yaani kuna siku anashinda chumbani tu akimsaidia Zari kulea, ikiwa hivyo basi siku hiyo itakuwa ni ya kupiga picha tu za kutupia mitandaoni, kiukweli mtoto amemzuzua mshikaji,” kilidai chanzo hicho.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA