LOWASSA KUTAMBULISHWA MKOANI MBEYA LEO



Mgombea Urais wa Tanzania 2015 Edward Lowassa anatarajia kutambulishwa kesho kwa wanachama wa chama chake mkoani Mbeya.

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoani Mbeya, Joseph Mwachembe maarufu kwa jina la China, amesema wanachama kutoka wilaya 10 za mkoa huo watafika Jijini Mbeya.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA