PROFESSA JAY ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MIKUMI KUPITIA CHADEMA

Nimechukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la MIKUMI, Eeeh MWENYEZI MUNGU NISAIDIE!!! 
kupitia ukurasa wake wa Twitter, msanii wa bongo fleva Joseph Haule aka profesa Jay amechukua rasmi fomu ya kugombea jimbo la Mikumi kupitia CHADEMA.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA