CORETHA AJIVUNIA MAFANIKIO YA KIMAISHA


“Msanii nyota wa filamu, Coretha Raymond.

Sina budi kujivunia mafanikio niliyonayo kutokana na shughuli zangu za sanaa, naishi vizuri hapa mjini, kilichonifikisha hapa ni malengo tu, maana wengine wanaambulia patupu kwa kuendekeza starehe, licha ya hivyo pia nina duka la nguo linalonipatia kipato,” alisema msanii huyo.

Alisema katika kukabiliana na changamoto mbalimbali za kimaisha, alilazimika kuuza gari lake ili kuweka mambo yake sawa, lakini anamshukuru Mungu kwa vile mipango inakwenda kama alivyopanga.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA