FAIZA: HAKUNA STAA MWENYE FIGA KAMA YANGU BONGO WA KUVAA BIKINI

Mzazi mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally.

Akifunguka na Centre Spread, Faiza alisema kuwa wapo mastaa wengi wembamba lakini maumbo yao hayana mvuto hasa wakivaa bikini huku akitolea mfano wa Nancy Sumari na Jacqueline Patrick.

“Ukitaka kujua kama una umbo zuri tena la kimataifa wewe jaribu kuvaa bikini uone, ndiyo utajijua ni mrembo kiasi gani. Najitambua navutia kiasi gani nikivaa bikini,” alisema Faiza.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA