JOHARI: SIHITAJI MUME STAA KAMA RAY



Staa mkongwe katika tasnia ya filamu, Blandina Chagula ‘Johari’.

Kwanza sihitaji mwanaume wa kunioa awe staa hata siku moja, nataka tu awe wa kunijali na kunithamini na kingine awe mchapakazi kwa kuwa mimi mwenyewe ni mtafutaji,” alisema Johari.

Comments