MUIGIZAJI WA FILAMU ZA KIBONGO PENINA KUFUNGA NDOA

MUIGIZAJI wa filamu za Kibongo, Jennifer Raymond ‘Penina’, amefunguka kuwa anatarajia kufunga ndoa muda wowote kuanzia sasa.


Muigizaji wa filamu za Kibongo, Jennifer Raymond ‘Penina’.

Akizungumza Penina alisema kuwa harakati za kuolewa zipo jikoni hivyo anamuomba Mungu kile ambacho kinatarajia kufanyika kiweze kwenda kama alivyopanga ingawa hakutaka kumweka wazi mwanaume huyo kwa madai kuwa hataki kuibiwa.

“Mambo ya ndoa yapo tayari na anayesubiriwa ni mwanaume ambaye anataka kunioa ili alete barua ya uchumba, kwa sasa yuko nje kwa ajili ya mambo yake binafsi lakini atakapotua tu Bongo, muda wowote ndoa itafungwa,” alisema.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA