MWANAFUNZI WA CHUO CHA SAUT AKABIDHIWA MILLIONI ALIYOJISHINDIA KUPITIA JAY MILLIONS VODACOM PROMOTION


Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha SAUT cha jijini Mwanza Evarista Minja (kulia) akitoa fedha zake kwa njia ya M-PESA kiasi cha shilingi Milioni 1/-alizojishindia kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania na kukabidhiwa fedha hizo na Mkuu wa kampuni hiyo kanda ya ziwa Dominician Mkama(kushoto.Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544.

Mkuu wa kanda ya Ziwa wa Vodacom Tanzania,Domician Mkama (kushoto) akimkabidhi fedha taslimu kiasi cha shilingi Milioni 1/- Evarista Minja ambaye ni Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha SAUT cha jijini Mwanza,alizojishindia kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na kampuni hiyo. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544.

Mkuu wa kanda ya Ziwa wa Vodacom Tanzania,Domician Mkama(kushoto)akimkabidhi fedha taslimu kiasi cha shilingi Milioni 1/- Evarista Minja ambaye ni Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha SAUT cha jijini Mwanza,alizojishindia kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na kampuni hiyo. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544.

Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha SAUT cha jijini Mwanza Evarista Minja(katikati)akiwa amepozi kwa picha na marafiki zake Careen Masonda(kushoto)na Lucy Mlacha (kulia) mara baada ya kukabidhiwa kitita hicho cha shilingi milioni 1/-na Mkuu wa kanda ya ziwa wa Vodacom Tanzania Dominician Mkama(hayupo pichani)alizojishindia kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na kampuni hiyo. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544.

Mkuu wa kanda ya Ziwa wa Vodacom Tanzania, Domician Mkama(kushoto)akiongea na Evarista Minja (wapili toka kulia) na marafiki zake alipomtembelea Mwanafunzi huyo wa chuo kikuu cha SAUT jijini Mwanza kwaajili ya kumkabidhi kitita chake cha shilingi Milioni 1/-alichojishindia kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na kampuni hiyo. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA