Ronaldo na mpenzi wake, mwisho wa yote ni huu hapa…

Cristiano-Ronaldo-and-Irina-ShaykKwa muda wa kama wiki mbili kumekuwa na story juu ya kuvunjika kwa uhusiano ya mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo na mpenzi wake ambaye ni mwanamitindo,Irina Shayk.
Wiki iliyopita msemaji rasmi wa Irina Shayk alithibitisha kwamba mrembo huyo mwenye asili ya Urusi ameachana na Ronaldo ambaye alikuwa na uhusiano naye kwa muda wa miaka 5, hata hivyo tetesi juu ya chanzo cha kuvunjika kwa uhusiano huyo zikaendelea huku mama mzazi wa Cristiano Ronaldo akitajwa kuhusika.
Mama mzazi wa RonaldoDolares ametajwa kumkataa Irina kwa sababu haoni kama mwanamke huyo atafaa kuwa mzazi mwema kwa mtoto wa Ronaldo aitwaye Cristiano JR.
Cristiano I
Hata hivyo baada ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye Cristiano Ronaldo ameibuka na kuthibitisha kwamba ameachana na Irina huku akiomba jamii imuache aendelee na maisha yake binafsi.
Katika taarifa aliyotoa leo kwa vyombo vya habari, Ronaldo alisema ; “Huu ni mwisho wa uhusiano wangu na  Irina Shayk baada ya kudumu kwa miaka mitano. Tunaamini uamuzi huu ni sahihi kwa wakati huu
Cristiano II

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA