MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA KAZI MBALIMBALI ZA SERIKALI KUTOKA UTUMISHI WA UMMA,


SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA  

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi
ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG),  Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT),
Wakala  wa  majengo  Tanzania  (TBA),  Wizara,  Idara  zinazojitegemea,
Wakala  za  Serikali  na  Mamlaka  za  Serikali  za  Mitaa  (MDAs  &  LGAs)
anatarajia kuendesha usaili na hatimae kuwapangia vituo vya kazi waombaji
kazi watakaofaulu usaili.
Wasailiwa walioitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia yafuatayo:
1. Usaili utaanza saa moja kamili asubuhi (1:00) na utafanyika mahali na
tarehe kama inavyoonesha katika nafasi husika.
2. Kuja na kitambulisho kwa  ajili ya utambuzi mfano: kitambulisho cha mkazi,
kupigia kura, kazi, hati ya kusafiria n.k
3. Kuja na Vyeti Halisi (original certificates) vya kuanzia kidato cha nne, sita,
Stashahada, Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na
sifa za mwombaji.
4. “Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo
za  kidato  cha  nne  na  sita  (FORM  IV  AND  FORM  VI  RESULTS  SLIPS)
HAVITAKUBALIWA.
6. Kila msailiwa atajigharamia kwa chakula, usafiri na malazi.
7. Kila msailiwa azingatie tarehe na eneo alilopangiwa kufanya usaili.
2
8. Kila msailiwa aje na cheti halisi cha kuzaliwa (Original Birth Certificate)
9.  Kwa  wale  waliosoma  nje  ya  Tanzania  wahakikishe  vyeti  vyao
vimehakikiwa na kuidhinishwa na mamlaka husika (TCU & NECTA)
10. Wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue
kuwa hawakukidhi vigezo, hivyo  wasisite kuomba tena pindi  nafasi za kazi
zitakapotangazwa


CLICK HAPA KUTIZAMA MAJINA

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA