Matokeo ya usaili TBS uliofanyika Novemba 19 hadi 27


Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linapenda kuwatangazia waombaji kazi waliofanya usaili tarehe 19 hadi 27 Novemba 2015 kuwa wafuatao wamechaguliwa. Hivyo wanaombwa kufika TBS, Ubungo DSM siku ya Jumatano tarehe 16.12.2015 saa 3 asubuhi kwa ajili ya kukamilisha mchakato wa ajira.

Tafadhali bonyeza linki ifuatayo ili uweze kuona orodha ya waliochaguliwa:

TANGAZO LA TOVUTI-MATOKEO YA USAILI DESEMBA_2015.pdf

It appears you don't have a PDF plugin for this browser. You can see the screen-shot photos of the document below or click here to download the PDF file.

K

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA