Mhadhara 19.12.2015 UDSM kuhusu udhamini wa elimu ya juu Ughaibuni




MHADHARA - UDHAMINI WA ELIMU YA JUU UGHAIBUNI


Kutakuwa na mhadhara na majadiliano kuhusu udhamini/ufadhili wa Elimu ya juu ughaibuni (SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES).

Mhadhara utakuwa siku ya Jumamosi Disemba 19, 2015 katika ukumbi wa ATB hapa chuoni UDSM Mlimani Main Campus.

Muda ni kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa nane mchana.

Presenters ni

Ernest B Makulilo
Francis Semwaza
Genuine Martin
Victoria B Makulilo, PhD
Mathew Agripinus, PhD

Tafadhali alika watu wengi zaidi. Ni BURE kushiriki fursa hii.

Ernest Boniface Makulilo

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA