MWIGULU AKUTANA NA WATUMISHI WIZARANI KWAKE "NAHITAJI MAJAWABU SIO MAJIBU"



Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mh.Mwigulu Nchemba akisalimiana na watumishi wa wizara yake mapema hii leo alipowasili ofisini kwaajili ya kuzungumza na watumishi wa wizara hiyo.Mh.Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa zira ya Kilimo,Uvuvi na Mifugo hii leo.Waziri na Naibu waziri Mh.Ole Nasha wa Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi wakisaini vitabu vya wageni wakati wa kufahamiana na watumishi wa wizara hiyo hii leo.Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mh.Mwigulu Lameck Nchemba Madelu akizungumza na Watumishi wa wizara yake hii leo,Mwigulu amewaagiza na kuwasisitiza watumishi wote wa wizara yake waliopo Makao makuu na mikoani kuwa "Ninahitaji tufanye kazi kwa kiwango cha juu,Wote tunazijua changamoto za wakulima,Wafugaji na wavuvi,sitegemei kusikia pembejeo hazifiki kwa wakati,Kwa wakati huu nahitaji kuona MAJAWABU sio MAJIBU"
Imeandikwa/Picha na
Festo Richard Sanga

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA