JESCA GEORGE AZIKWA KIJIJI CHA NYEGINA,MUSOMA VIJIJINI
Aliyekuwa Mke wa Thomas Exaud, (Jesca George) aliyefariki tarehe 06/02/2015 katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa kupooza upande wake wa kushoto hatimaye jana amepumzishwa katika nyumba yake ya milele katika kijiji cha Nyegina kinachopatikana katika mkoa wa Mara, wilaya ya Musoma vijijini.
Marehemu ameacha mtoto wa miezi sita na Mume
Pumzika kwa Amani Jesca daima tutakukumbuka
Marehemu ameacha mtoto wa miezi sita na Mume
Pumzika kwa Amani Jesca daima tutakukumbuka
![]() |
| mapadri wakiongoza mazishi. |
![]() |
| Mume wa marehemu akiweka shada la maua kwenye kabuli akiwa na mwanaye Evance |
![]() |
| Mamia ya waombolezaji walioudhuria safari ya mwisho ya Jesca |
![]() |
| Shemeji wa marehemu akitoa shukrani |










Comments
Post a Comment