Popular posts from this blog
HABARI NJEMA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU
Taasisi mpya ya binafsi inayotoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu imeanzishwa, kwa wale ambao ndugu zao wamekosa mikopo kupitia taasisi ya serikali ya utoaji wa mikopo ya elimu ya juu HESLB wanaweza kuwashauri waombe huko. taasisi hiyo inaitwa HLSSF ( Higher Learning Students Supporting Fund) kwa maelezo zaodi tembelea tovuti hii hapa http://www.hlssf.org/ Taasisi hii inatoa huduma zingine kama ifuatavyo Inatoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwa ajili ya kuwasaidia kulipa karo,kununua chakula,kulipia gharama za malazi,kununua vitabu na kufanya utafiti pamoja na mafunzo kwa vitendo. Inawatafutia scholarship za kusoma ndani na nje ya nchi wanafunzi wote ambao wanasifa za ufaulu stahili kadiri ya masharti ya wafadhili. Inawatafutia kazi wahitimu wote wa vyuo vikuu.Hii inafanywa kwa kuwakutanisha wahitimu na waajiri kadiri ya fani zao. Inatoa fursa ya kuwasaidia wahitimu wa vyuo na vijana wengineo wanaotaka kujiajiri katika fani za kiso...
YOUNG D AZUNGUMZIA MAMBO 6 KATIKA KIPINDI CHA MKASI JANA
. Kama hukuwa karibu na TV yako kuangalia show ya Mkasi on EATV November 17 2014 usiku haya ni mambo sita aliyoyazungumzia Rapper Young Dee kuhusiana na tatoo zake, anachikofikiria kukifanya kama akiacha muziki, msichana aliyemwimbia “Siyo mchoyo’, kukopi style ya muziki na kuhusu yeye na shule. Mtangazaji Salama Jabir na timu yake ndio wameongoza maswali kwa Young Dee . . Salama : “… Mara yako ya kwanza kuchora tatoo ulikuwa una miaka mingapi ?…” Young Dee : “ …Actually sikumbuki nilikuwa na miaka mingapi.. lakini ilikuwa ni kipindi ambacho nilikuwa nimeanza kuandaa albam yangu inaitwa ‘The City of David’ .. tatoo yangu ya kwanza imeandikwa ‘The City of David’.. hii ndiyo project ambayo ninaifanya hadi sasa hivi kuanzia kwenye ‘dada anaolewa’.. ‘tunapeta’ .. hadi sasa hivi nyimbo zangu zinazotoka ni project ambayo nimeanza kuifanya muda mrefu.. nina kama miaka mitano kama sikosei kwa hiyo miaka mi...

Comments
Post a Comment