Leo ni siku ya kumbukumbu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Mwalimu wa Historia skuli alinifunza kuwa ni ziliunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 26 Aprili 1964.

Unaweza kujipakulia nakala zifuatazo ili kuongeza maarifa kuhusu historia na mambo ya Muungano huu:
  1. INTELLIGENCE  STUDY ZANZIBAR:  T H E   HUNDRED  DAYS' REVOLUTION (ESAU  XXX) DIRECTORATE  OF INTELLIGENCE - foia.cia.gov/CPE/ESAU/esau-28.pdf
  2. The Union between Tanganyika and Zanzibar  LEGALITY OF ADDITIONAL MATTERS OUTSIDETHE ARTICLES OF UNIONBY MUSSA, ALI. UBWA - zanzinet.org/files/legality_union.pdf
  3. KWAHERI UKOLONI, KWAHERI UHURU! ZANZIBAR NA MAPINZUZI YA AFRABIA: Dkt. Harith Ghassany -  kwaherikwaheri.com/download.htm
  4. Mohamed Said anjibu vipi "East African Muslim Welfare Society" ilivunjwa - youtube.com/user/MzeeBarwani
  5. Baadhi ya maoni ya watu na vikundi kuhusu Muungano - Muungano in site:mzalendo.net

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA