WASANII JUACALI, NATURE, FID Q, MANGWAIR WAFUNIKA NDANI YA DAR LIVE USIKU WA PASAKA

Msanii Juacali kutoka nchini Kenya, Juma Nature, Fid Q, Albert Mangwair na wengineo usiku wa Pasaka waliwarusha vilivyo wapenzi wa burudani katika Tamasha la Pasaka  Spesho ndani ya Ukumbi wa maraha wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem, jijini Dar es Salaam, katika picha juu ni msanii Juacali kutoka nchini Kenya  akiwapa burudani mashabiki waliofurika ndani ya Ukumbi wa Dar Live siku ya Pasaka. 
Msanii wa HIP HOP , Farid Kubanda "Fid Q" akionyesha makali yake.
Watoto nao wakijiachia kwa raha zao.
Nyomi iliyokuwa inaipa sapoti shoo hiyo.
.Nature na kundi lake wakimwaga burudani jukwaani.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA