Dar es salaam: MADEREVA WA MAGARI YAENDAYO MIKOANI NA NCHI JIRANI KUTOKA UBUNGO WAGOMA.

Madereva wa mabasi yaendayo mikoani amabayo huanzia safari zake Ubungo jijini Dar es salaam wameanza mgomo leo asubuhi na kuwapata tabu abiria wanaotarajia kusafiri kuelekea mikoani na nchi jirani na Tanzani. Kwa taarifa zaidi endelea kutufatilia zaidi kutoka blog hii . Picha naAwadh Ibrahim).(MC)

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA