TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEKRETARIETI YA AJIRA, KWA NIABA YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI NA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya
Ofisi ya Mkaguzi mkuu wa Serikali (NAO), Wakala za Serikali na
Mamlaka za Serikali za Mitaa (MDAs & LGAs) anatarajia kuendesha
usaili na hatimae kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu
usaili.
Ofisi ya Mkaguzi mkuu wa Serikali (NAO), Wakala za Serikali na
Mamlaka za Serikali za Mitaa (MDAs & LGAs) anatarajia kuendesha
usaili na hatimae kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu
usaili.
Wasailiwa walioitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia yafuatayo:
1. Usaili utaanza saa moja kamili asubuhi (1:00) na utafanyika mahali na
tarehe kama inavyoonesha katika nafasi husika.
2. Kuja na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi mfano: kitambulisho cha
mkazi, kupigia kura, kazi, hati ya kusafiria n.k
3. Kuja na Vyeti Halisi (original certificates) vya kuanzia kidato cha nne,
sita, Stashahada, Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea
kutegemeana na sifa za mwombaji.
4. “Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati
matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS
SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
6. Kila msailiwa atajigharamia kwa chakula, usafiri na malazi.
7. Kila msailiwa azingatie tarehe na eneo alilopangiwa kufanya usaili.
8. Kila msailiwa aje na cheti halisi cha kuzaliwa (Original Birth
Certificate)
9. Kwa wale waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao
vimehakikiwa na kuidhinishwa na mamlaka husika (TCU & NECTA)
2
10. Wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili
watambue kuwa hawakukidhi vigezo, hivyo wasisite kuomba tena pindi
nafasi za kazi zitakapotangazwa.
https://lh6.googleusercontent.com/-p-5AT-amLik/T2WEi_MJDqI/AAAAAAAACco/5J-MqivSQw4/s36/23.gifhttps://lh5.googleusercontent.com/-VKGWq-wPGUw/T2WEaEQLA9I/AAAAAAAACa4/ZDnLP29mlgk/s36/14.gif
ReplyDeletesafi sana.
ReplyDelete