CHAMA KIPYA CHA SIASA CKUT CHAPATA USAJILI

Mwenyekiti na Muasisi wa Chama cha Kijamaa na Uzalendo Tanzania (CKUT), Ramadhani Semtawa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupata usajili wa muda wa chama hicho uliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya msajili wa vyama vya siasa jana jijini Dar es Salaam, Kushoto ni katibu Mkuu wa Chama hicho, Noel Antapa.
Mwenyekiti na Muasisi wa Chama cha Kijamaa na Uzalendo Tanzania (CKUT), Ramadhani Semtawa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupata usajili wa muda wa chama hicho uliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya msajili wa vyama vya siasa jana jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti na Muasisi wa Chama cha Kijamaa na Uzalendo Tanzania, Ramadhani Semtawa akiwa ameshika katiba ya CKUT na Kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama hicho Noel Antapa akiwa katika viwanja va Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa leo jijini Dar es Salaam.
(PICHA NA EMMANUEL MASSAKA)-GPL

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA