VIDEO: ALIYENUSURIKA GARISSA ASIMULIA ALIVYOISHI SAA 53 BILA KUJIGUSA
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
07 Apr
Cynthia
Cynthia Cherotich ni mmoja wa waliobahatika kuwa hai na kukwepa mauaji yaliyofanyika katika chuo Kikuu cha Garissa wiki iliypita. Mtangazaji wa runinga ya NTV, Victoria Rubadiri ameripoti taarifa ifuatayo ambapo Cynthia anaeleza kilichomtokea...
Chukua japo dakika 10 za kusoma kitabu cha mwanamalundi, mtu maarufu aliyewahi kutokea katika historia ya kabila la kisukuma, hizi ni picha nilizozitoa katika kitabu hicho chenye karatasi kama 7, ni mojawapo ya kitabu nilichotamani kukisoma kupata ukweli juu ya mtu huyu, kwa bahati nzuri nimekikuta kwa mama yangu mkubwa katika kabati lake la vitabu, hivyo nikaona sio mbaya nikiweza kushare na marafiki zangu ambao nao wanatamani kujua historia ya mtu huyu maarufu kuwahi kutokea hapa Tanzania.
Comments
Post a Comment