HII HAPA ORODHA YA WASANII 10 MATAJIRI AFRIKA

Youssou Ndour ndiye mwanamuziki tajiri barani Afrika
Usanii wa muziki ni miongoni mwa kazi zinazolipa vizuri duniani.
Hatahivyo si kila mtu anayefanikiwa katika sekta ya muziki.
Kulingana na mtandao wa capital Fm nchini Kenya,kwa wewe kufanikiwa ni sharti uipende sekta hii pamoja na uwajue wateja wako.
Hivyo ndivyo wasanii wengi wa muziki wameweza kujitengezea jina duniani.
Na je, unawajua wanamuziki tajiri barani Afrika?Orodha ya wanamuziki 10 walio matajiri barani afrika kulingana na Answers Afrika itakushangaza.
Hii Hapa.
01.Youssou N'Dour - Senegal.
02.P-Square- Nigeria
03.D'banj - Nigerian
04.Koffi Olomide - DRC
05.Salif Keita - Mali
06.Fally Ipupa DRC
07.Face Idibia - Nigeria
08.Hugh Masekela - South Africa
09.Banky W - Nigeria
10.Jose Chameleon - Uganda

Chanzo: BBC

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA