MAJINA MAPYA YA WANACHAMA WA ACT-TANZANIA WAKITOKEA CHADEMA

Siku moja baada ya aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya CHADEMA kujiunga rasmi na chama cha ACT, kuna wimbi kubwa la wafuasi na wanachama wa CHADEMA kukihama chama hicho na kumfuata Zitto. Hawa ni baadhi ya viongozi mbalimbali waliokuwa wanachama wa CHADEMA ambao wameamia ACT- TANZANIA



Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA