SNURA ANG’ANG’ANIA KUISHI BAA KWA MALENGO

Staa wa muziki wa Mduara, Snura Mushi.
“Kila kukicha nasikia maneno yakizagaa kuwa ninakaa baa hilo litasemwa sana wala sina mpango wa kuhama, nina malengo yangu makubwa, nikihama hapa huenda nikahamia kwenye nyumba yangu na si kwenda kuwatajirisha watu wengine,” alisema Snura.
Alisema kuwa kwake mwanamuziki hakuwezi kumfanya kutafuta kuishi nyumba za mamilioni, kwani siku zote ameishi akitafuta kwa malengo, hivyo hawezi kujikweza kwa kidogo anachopata.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA