MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA 25 JULAI, 2014



PIX 9.
Raisi Kikwete akiwa na Mkuu wa majeshi katika maadhimisho ya siku ya mshujaa ambayo kitaifa yamefanyika jijini Dar Es Salaam kwenye viwanja vya mnazi mmoja.
PIX 1. 
Kikosi cha jeshi la wananchi wa Tanzania
PIX 2. (1) 
Gwaride likiendelea kwenye viwanja hivyo
PIX 8.
Raisi Kikwete akiingia kwenye viwanja vya mnazi mmoja akiwa na mkuu wa majeshi(P.T)

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA