KUWAONA YANGA V EXPRESS J'MOSI TAIFA BUKU TATU TU


WAKATI mabingwa wa ligi kuu soka nchini Uganda,  Express wakiwasili leo tayari kwa mchezo wao wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Yanga, kiingilio cha juu cha mchezo huo utakaoipgwa jumaosi katika uwanja wa Taifa kimepangwa kuwa shilingi 20,000 kwa VIP A.
Ofisa habari wa Yanga Louis Sendeu amesema kwamba mashabiki watakaokaa VIP watalipa shilingi, 15,000 kwa VIP B na C ,shilingi 5,000 ni kwa watakaokaa biti vya  kijani na wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na chungwa watalipa shilingi 3,000.

source  http://dinaismail.blogspot.com/

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA