PICHA:MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ JIJINI DAR ES SALAAM AKITOKEA KWENYE TUZO ZA CHANNEL O ZILIZOFANYIKA AFRIKA KUSINI.
Diamond Platnumz tayari ameshatua jijini Dar es salaam akitokea Afrika Kusini ambapo alienda kuhudhulia utoaji wa tuzo za Channel O Music Awards na kuibuka kidedea kutoka Afrika Mashariki kwa kushinda tuzo tatu.
Hizi ni baadhi ya picha zikionyesha hali ilivyo kwa sasa katika mapokezi yake katika mitaa tofauti tofauti ya jijini Dar Es salaam.
Comments
Post a Comment