BASI LA OSAKA LAPATA AJALI MKOANI MARA

Basi la osaka lenye namba za usajili  T 202 CVS linalofanya safari zake kutoka Musoma- Dar lapata ajali wilayani Bunda mkoani Mara  asubuhi hii. Mtoa taarifa hakuna aliyefariki katika basi ilo lakini kuna majeruhi kadhaa. Mtoa taarifa anasema aliyesababisha ajali ni mwendesha baskeli

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA