PICHA: PROJECT INAVYOENDELEA UKO KAMPALA KATI YA DIAMOND NA ZARI NI FULL MAHABA

Diamond anatarajia kufanya leo show iliyoandaliwa na na Boss Lady wa kuitwa Zari, inayojulikana kama "Ciroc all white party" ndani ya jiji la Kampala. Diamond amepokelewa Kwa mbwembwe kubwa huku akipata ulinzi wa kutosha kutoka jeshi la polisi nchini humo.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA