WANNE WATOLEWA BIG BROTHER AFRICA HOTSHOTS, IDRIS APETA KURA ZAIDI ZINAHITAJIKA KURUDI NA USHINDI TANZANIA

DSC06323
Goitse
Goitse mshiriki wa kutoka Botswana, Ellah mwakilishi kutoka Uganda, Sheillah mwakilishi wa Botswana na Trezagah kutoka Msumbiji ndio washiriki walioyaaga haya mashindano Novemba 30 2014.
Idadi ya washiriki waliobakia ni nane tu akiwemo Idris kutoka Tanzania ambapo kwa mujibu wa ukurasa wa Big Brother matumaini yaliyopo kwamba ikiwa msimamo wa kura ukiendelea poa kama hali ilivyo huenda neema ikawa kwa mshiriki huyo wa Tanzania akarudi na ushindi.
DSC06321
Ellah
DSC06331
DSC06334
Idris
Sheillah.
Sheillah

Trezagah.
Trezagah

                                                  
DSC06338







Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA