DR DRE: KAMPUNI YA BEATS ELECTRONICS YAILALAMIKIA CHINA KUTENGENEZA HEADPHONE FEKI NA KUPATA HASARA YA MABILLIONI.


0710-dre-beats-logo-tmz-01Kampuni ya "Beats Electronics" ambayo inamilikia na gwiji wa muziki wa hip hop nchini Marekani Dr. Dre ameilalamikia nchi ya China kwa baadhi ya wananchi wake kutumia njia ya mtandao kuuza  bidhaa za headphone ambazo ni feki zinazotengenezwa nchini China,zenye logo ya B ambazo zinatengenezwa na kampuni hiyo ya Beats na kupata hasara ya dola za kimarekani 135 BILLION.

Dr. Dre ameuambia mtandao wa tmz kuwa hatua kali zimeanza kuchukuliwa dhidi ya watu wote wale wanaojihusisha na utengenezaji na uuzaji wa bidhaa hizo fake ambazo zinawaharibia  jina na heshima ya kampuni waliyonayo katika utengenezaji na  uuzaji wa headphone zenye ubora duniani kote.


Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA