HII NDIO ILE TWITTER BEEF YA CHRIS BROWN, DRAKE & MEEKMILL KUHUSU RIHANNA.

.
Radio Power 105 New York imeripoti kwamba Kuna baadhi ya beef kwenye twitter ambazo huwa ni raha kuzisoma na zinafurahisha, ila hii ya wasanii iliyoibuka ya Chris Brown, Meek Mill na Drake inakera.

Kilichotokea ni kwamba inaonekana wasanii hao wote watatu wa kiume wanamgombania Rihanna.. na hicho kimeonekana kupitia walichikiandika kwenye page zao za twitter
@Chrisbrown – aliandika, huyu dem anafata ndoto zake, na atazifuata milele
@Meek Mill – akaandika hawa wanawake hawamilikiwi na mtu yeyote, wote wako kwenye game au sanaa, usichanganye ukajiona kwamba unawamiliki wewe, au kwamba wanakutizama wewe tu.

@Drake – Ohhh… kwa hiyo ni kicheche wako? Pia sisi ni kicheche wetu.

Mwishoni Rihanna akamaliza kwa kutweet mara mbili akisema… Inafurahisha sana, ila cha muhimu lile jicho ndilo litakalochagua lenyewe.

.
.
.
.
.
.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA