TUMSAIDIE NDUGU YETU SAJUKI
Kiukweli inaumiza sana baada ya kuona hii Post kutoka kwa Djchoka kuona ndugu yetu Sajuki ambaye anaumwa hivi sasa akiwa katika hali hiyo hapo juu,kama Mtanzania na watanzania wengine ni jukumu letu kuungana kwa pamoja kuweza kujitolea chochote tulichonacho kuweza kumsaidia zinahitajika zaidi ya Tsh million 25 za matibabu ambapo kila wiki anatumia dawa zinazouzwa dolla 1000, pia anatakiwa kusafirishwa kwenda India kwa matibabu zaidi ndani ya mwezi huu.
Comments
Post a Comment