MISS NYAMAGANA WATEMBELEA FURNITURE HOUSE

 Mwanadada Joyce Rewben wa Furniture House akiwaonyesha warembo wa miss Nyamagana bidhaa zinazouzwa ndani ya duka hilo lililopo ghorofa ya kwanza ndani ya Jengo la CCM mkoa wa Mwanza.

 Moja kati ya engo za furniture ndani ya duka hilo.

 Furniture House ambao ni moja kati ya wadhamini kinyang'anyiro cha miss Nyamagana 2012 kitakachofanyika ijumaa hii ndani ya Gold Crest Mwanza, pamoja na zawadi kutoka kwa wadhamini wengine, Furniture House itatoa zawadi ya sofa hili lenye thamani ya shilingi Milioni mbili na laki mbili kwa mrembo atakaye valishwa taji la Miss Nyamagana.

 Sofa at Furniture House.

 Warembo wakiwa wamesimama pamoja na wadau wa Furniture House ambao ni moja kati ya wadhamini wa Miss Nyamagana 2012. Walioketi ni Joyce Reuben (L) na Timilo Mohamed (R).
Mtangazaji wa Star Tv Abdalah Tilata (L) akiwa na Cameraman Baraka Samson wakiperuzi kwaliti' za view walizochukuwa eneo la tukio.
 Didi-daaaah..!

 Dush-waaa...!
 
Picha na story ni kutoka gsengo.blogspot.com

Comments

  1. These are regularly described as 2 din car DVD, or double din DVD players and
    this designation references the height of the component.
    This phone feels just as solid in hand as any other phone you
    will hold this year. i - Phone application developers and Apple app store still holds unmatchable number of apps in terms of
    quality.

    Here is my web-site - samsung s4

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA