Redds Miss Chan'gombe hiyooo yaja!!

 Wanyange wanaowania taji la Redds Miss Cha'gombe 2012 wakiwa katika picha ya pamoja iliyopigwa muda mfupi baada ya kumaliza mazoezi yao jana katika ukumbi wa TCC Chan'gombe jijini Dar es Salaam. Warembo hao 11 wanataraji kupanda jukwaani mapema mwezi ujao kuwania taji hilo na kuwania tiketi ya kushiriki Miss Temeke 2012.

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA