KWELI UPEPO UNAKWENDEA VIZURI DIAMOND MUDA WAKO NDO HUU UTUMIE VIZURI



akitoa 'saluti; kabla ya ndege kupaa kuelekea kiwanja cha Dar Live, Mbagala
.akisali kumuomba Mungu amfikishe salama
...
Helikopta ikiwa mita chache juu wa Dar Live ikizunguruka, ambapo Diamond alisalimia mashabiki akiwa angani kwa kutumia 'Wireless Mic'

.Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live unavyoonekana kwa juu

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA