KWELI UPEPO UNAKWENDEA VIZURI DIAMOND MUDA WAKO NDO HUU UTUMIE VIZURI
akitoa 'saluti; kabla ya ndege kupaa kuelekea kiwanja cha Dar Live, Mbagala
.akisali kumuomba Mungu amfikishe salama
Helikopta
ikiwa mita chache juu wa Dar Live ikizunguruka, ambapo Diamond
alisalimia mashabiki akiwa angani kwa kutumia 'Wireless Mic'
.Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live unavyoonekana kwa juu
Comments
Post a Comment