Hawa
ni wafanyakazi wa taasisi moja, wakikimbia na bango lao lenye ujumbe
mwanana kabisa,kuwahi Mnazi Mmoja kwenye maadhimisho ya sikukuu ya
Wafanyakazi a.k.a Mei Mosi
Ni mei mosi leo Je wafanyakazi wana hali gani? Mishahara imeacha kuchelewa? Unyanyasaji kazini umeisha? Kama haya yote bado nini hasa maana ya Mei mosi na kwa ajili ya akina nani iwepo? Mwesigwa,Mwanza.
Chukua japo dakika 10 za kusoma kitabu cha mwanamalundi, mtu maarufu aliyewahi kutokea katika historia ya kabila la kisukuma, hizi ni picha nilizozitoa katika kitabu hicho chenye karatasi kama 7, ni mojawapo ya kitabu nilichotamani kukisoma kupata ukweli juu ya mtu huyu, kwa bahati nzuri nimekikuta kwa mama yangu mkubwa katika kabati lake la vitabu, hivyo nikaona sio mbaya nikiweza kushare na marafiki zangu ambao nao wanatamani kujua historia ya mtu huyu maarufu kuwahi kutokea hapa Tanzania.
Ni mei mosi leo Je wafanyakazi wana hali gani? Mishahara imeacha kuchelewa? Unyanyasaji kazini umeisha? Kama haya yote bado nini hasa maana ya Mei mosi na kwa ajili ya akina nani iwepo? Mwesigwa,Mwanza.
ReplyDelete