ujumbe murua kabisa wa mei mosi leo jijini dar.

Hawa ni wafanyakazi wa taasisi moja, wakikimbia na bango lao lenye ujumbe mwanana kabisa,kuwahi Mnazi Mmoja kwenye maadhimisho ya sikukuu ya Wafanyakazi a.k.a Mei Mosi

Comments

  1. Ni mei mosi leo Je wafanyakazi wana hali gani? Mishahara imeacha kuchelewa? Unyanyasaji kazini umeisha? Kama haya yote bado nini hasa maana ya Mei mosi na kwa ajili ya akina nani iwepo? Mwesigwa,Mwanza.

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA